Majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV Awards yatajwa, nao ni… - DENIS KIBINDU

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV Awards yatajwa, nao ni…

Awamu ya kwanza ya kutaja majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV kwa mwaka huu wa kwanza yametajwa Jumanne hii.
eatv-awards1
Kwa kuanzia yametajwa majina ya wasanii kutoka katika vipengele viwili kati ya kumi vilivyopo kwenye tuzo hizo huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kwa siku nne ambapo litakamilika Ijumaa hii ya Novemba 11.
Hii ni orodha ya wasanii waliotajwa kwenye vipengele hivyo.
Mwanamuziki bora chipukizi
Man Fongo
Feza Kessy
Ruky Baby
Mayunga
Bright
Muigizaji bora wa kiume
Saidi Ali – Ndugu wa mume
Meya Shabani – Profile
Daudi Tairo (Duma) –
Salim Ahmed (Gabo) – Safari ya Gwalu
Dotto Matotora – Likwacha Lala

No comments

Powered by Blogger.