Picha: Tazama Ronaldo alivyoweka ustaa pembeni akiwa na mwanae
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxC9jVaZ9x7IycMIiuCynNcdp5IfNEw8afWorAp0gPG8qbo_Ax5x9ljicXYDFcAUDWAY-wEMS2m_NOfcOBLj3SU_3tAdBAkpGy0WkETn7uV9G_jQchIgUOOnWaITJuVLZdUnvOe-XcpB4/s640/3910B95B00000578-0-image-a-16_1475513326705.jpg)
kugeuka “ball boy”, yaani wale vijana waokota mipira wakati mwanaye akicheza mechi.
Nyota huyo wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo hakuonyesha kabisa kama ni mchezaji nyota ambaye hawezi kufanya kazi kama hiyo na kuamua kufanya kama wazazi wengine wanavyofanya wanapokuwa out na watoto wao
No comments