Jacqueline Mengi kuzindua taasisi yake ‘Dr Ntuyabaliwe Foundation’ Alhamis hii - DENIS KIBINDU

Jacqueline Mengi kuzindua taasisi yake ‘Dr Ntuyabaliwe Foundation’ Alhamis hii

Miss Tanzania 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi, Alhamis hii atafanya uzinduzi wa taasisi yake, Dr Ntuyabaliwe Foundation.
13658832_1892450890982396_369938720_n
Jacqueline ambaye ni mke wa Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Limited, Dr Reginald Mengi, alianzisha taasisi hiyo kama njia ya kumuenzi marehemu baba yake, Dr Ntuyabaliwe.
14099703_1842052259358676_55132710_n
Uzinduzi wa taasisi hiyo utafanyika kwenye shule ya msingi Kinondoni jijini Dar es Salaam, kuanzia saa nne asubuhi.

No comments

Powered by Blogger.